Friday 17 June 2016

RIO 2016: MAPACHA WATATU WAWEKA HISTORIA


Mapacha watatu kutoka Estonia wameweka rekodi katika historia ya Olympics kwa kuwa mapacha watatu wa kwanza kushiriki mchezo mmoja...Madada hao Leila, Liina na Lilly Liuk waategemewa kukimbia kwenye marathon...Bofya hapa upate habari zaidi.

No comments:

Post a Comment