NEW YORK KNICKS: RAIS WA KNICKS PHIL JACKSON ANAMTAKA KEVIN DURANT
Baada ya kumchukua Derek Rose kutoka Chicago Bulls Rais wa New York Knicks ,Phil Jackson, amesema anamfukuzia Kevin Durant...Jackson anaamini Rose na Durant wataibadilisha kabisa New York Knicks timu ambayo zamani ilikuwa inawika sana...
No comments:
Post a Comment