Friday 24 June 2016

NEW YORK KNICKS: RAIS WA KNICKS PHIL JACKSON ANAMTAKA KEVIN DURANT


Baada ya kumchukua Derek Rose kutoka Chicago Bulls Rais wa New York Knicks ,Phil Jackson, amesema anamfukuzia Kevin Durant...Jackson anaamini Rose na Durant wataibadilisha kabisa New York Knicks timu ambayo zamani ilikuwa inawika sana...


Uzoefu wa Phil Jackson ni mkubwa sana na  akimpata Durant basi mambo yao yatanyooka...Bofya hapa upate habari zaidi.

No comments:

Post a Comment