Thursday 23 June 2016

CRICKET: CAPTAIN WA ZAMANI ANIL KUMBLE AMEKUWA KOCHA MPYA INDIA


India imemchagua mchezaji na Captain wa zamani wa Cricket, Anil Kumble, kuwa kocha mpya wa timu ya India...Kumble hana uzoefu wa kimataifa lakini anaongoza kwa wickets nyingi....Kumble ana wickets 619 katika mechi 132...India walikuwa hawana kocha toka Duncan Fletcher alivyoondoka World Cup ya mwaka 2015...



Alivyo staafu alikuwa Mwenyekiti wa Kamati ya International Cricket Council (ICC)...Bofya hapa upate habari zaidi.

No comments:

Post a Comment