Wednesday 22 June 2016

TP MAZEMBE: STICKER GIVEN SINGULUMA HATOCHEZA MECHI DHIDI YA YOUNG AFRICANS


mazembe watakuwa bila striker wao Zambian International, Given Singuluma, kutokana na kutenguka kwa mkono...Singuluma alitenguka katika mechi ya TP Mazembe na Madeama SC ya Ghana...Singuluma atauwa nje kwa muda wa wiki 3 mpaka 6...TP Mazembe walianza michano ya makundi vizuri kwa kuwachala Madeama SC 3-1 ndani ya Lubumbashi...Bofya hapa upate habari zaidi.

No comments:

Post a Comment