Thursday 30 June 2016

WIMBLEDON 2016: MARCUS WILLIS AMESEMA KUCHEZA NA ROGER FEDERER NI KAMA NDOTO


Marcus Willis ambae ni namba 772 duniani amesema kucheza na Roger Federer ilikuwa kama ndoto na alijisikia vizuri sana...Willis alitandikwa 6-0 6-3 6-4 na Roger Federer ambae ni namba 3 duniani...Willis alisema alikuwa na mipango ya kumchapa Federer na aliamini angeweza kumchapa lakini mkali Federer alimpeleka shule Willis na set ya kwanza tu Willis alitoka kapa...


Rankings mpya zikitoka Wimbledon atakuwa namba 416 kwa ukali duniani...Bofya hapa upate habari zaidi.

No comments:

Post a Comment