Monday 20 June 2016

CONFEDERATION CUP CHAMPIONSHIP: YANGA YACHAPWA NA BAJAIA YA ALGERIA




Young Africans wamelala kwa bao 1 dhidi ya Mo Bejaia ya Algeria...Mechi ilichezwa usiku na ilikuwa mechi ya Group A...Ndani ya dakika 20 toka mpira uanze Yanga walichapwa bao hilo pekee...Kipindi cha 2 beki wa kushoto Oscar Joshua alitolewa kutokana na kuumia na kuingizwa Mwinyi Haji...Mwinyi Haji nae akatolewa mwishoni kutokana na kupewa kadi za njano 2...Sub za nguvu zilifanyika upande ya Yanga Amissi Tambwe alibadilishana na Matheo Anthony na pia Deus Kaseke na Geofrey...Yanga ilitawala kipindi cha 2 lakini walishindwa kupata bao...

No comments:

Post a Comment