Wednesday 22 June 2016

ARUSHA OPEN GOLF CHAMPIONSHIP: MADINA IDDI AWIKA ARUSHA OPEN




Madina Iddi akicheza na handicap 3 ameshinda michuano mikubwa ya golf jijini Arusha...Michuano hiyo ya Arusha Open Golf Championship iliyofanyika katika viwanja vya Arusha Gymkhana Golf Club ilikuwa na vipaji vingi lakini hatimae Madina aliibuka mshindi...Madina alipiga mikwaju 146 katika mashimo 36...


Amesema ushindi wake ulikuja kwa kufanya mazoezi sana na kujituma...Neema Olomi nae wa Arusha Gymkhana Club alikuwa wa 2 na Leah Nicholas...Bofya hapa upate habari zaidi.

No comments:

Post a Comment