Monday 27 June 2016

BREAKING NEWS: LIONEL MESSI ANASTAAFU BAADA YA ARGENTINA KUCHAPWA NA CHILE


Habari mpasuko zilizoingia Max Sports hivi punde ni kuwa Lionel Messi ametangaza kutoichezea Argentina tena...Baada ya Argentina kuchapwa na Chile Copa America Messi alionekana kuchukizwa na kichapo hicho na kuwaambia waandishi wa habari anachana na mpira wa kimata...Habari zaidizinakuja....

No comments:

Post a Comment