Thursday 29 January 2015

YANGA: YANGA TO CAMP IN THE ISLANDS OF ZANZIBAR AND PEMBA


Yanga will have its soccer camp in the islands of Pemba.
 

AUSTRALIAN OPEN: SERENA WILLIAMS IN THE FINAL WITH SHARAPOVA


Serana Williams will play the in the final of the Australian Open with Maria Sharapova.
 

AFCON 2015: AFCON FIXTURES (GMT)

SAT 31 JAN 2015 - AFRICA CUP OF NATIONS
  • CongovCongo DR16:00
  • TunisiavEquatorial Guinea19:30
SUN 1 FEB 2015 - AFRICA CUP OF NATIONS
  • GhanavGroup D Second Place16:00
  • Group D WinnervAlgeria19:30
WED 4 FEB 2015 - AFRICA CUP OF NATIONS
  • Quarter-Final 1 WinnervQuarter-Final 4 Winner19:00
THU 5 FEB 2015 - AFRICA CUP OF NATIONS
  • Quarter-Final 2 WinnervQuarter-Final 3 Winner19:00
SAT 7 FEB 2015 - AFRICA CUP OF NATIONS
  • 3rd Place Play Off 1v3rd Place Play Off 218:00
SUN 8 FEB 2015 - AFRICA CUP OF NATIONS
  • Finalist 1vFinalist 219:00

AFCON 2015: IVORY COAST YAICHAPA CAMEROON YASONGA MBELE


Goli pekee kutokakwa Max Gradel lilitosha kuwavusha Ivory Coast...Cameroon hawajafanya vizuri na wamekosa sana mabao na kumaliza chini kabisa ya Group D kwa mara ya kwanza...Kosa la beki wa Cameroon Jerome Guihoata ndilo lilisababisha Max Gradel akamate mpiya kama yadi 25 na kupachika bao upande wa kushoto...



Timu zote hazikucheza vizuri kipindi cha 1 na pia foul zilikuwa 61 ambazo ni rekodi kwa Afcon...Bofya hapa upate habari zaidi.

AFCON 2015: MATOKEO YA MECHI ZA JANA

WED 28 JAN 2015 - AFRICA CUP OF NATIONS

Wednesday 28 January 2015

FIFA: LUIS FIGO AJITOSA MBIO ZA URAIS


Star wa Portugal Luis Figo ambae amewahi kuchezea timu za Sporting Lisbon, Barcelona, Real Madrid na Inter Milan kama forward ameshangaza dunia kwa kutaka kuwania urais wa shirikisho la mpira duniani Fifa...Figo yuko na David Ginola, Prince wa Jordan Ali, Michael van Praag na Jerome Champagne wote wakitaka kumtoa Sepp Blatter...Bofya hapa upate habari zaidi.

LEAGUE CUP: CHELSEA YAPONEA CHUPUCHUPU YAINGIA FAINALI


Chelsea FC amefanikiwa kuingia fainali ya league cup baada ya goli dakika za nyongeza kutoka kwa Branislav Ivanovic....Liverpool walikuja kucheza mpira na walijithidi sana kusukuma mpira pande zote na Chelsea wakionekana wanapata tabu kiaina lakini Liverpool wamechapwa fimbo kwa kupoteza chance nyingi na sasa Chelsea ndio gumzo la mjini...


Katika game 6 kati ya hizo timu 2 Chelsea wameshinda zote...Wakati goli linaingia Jose Mourinho alikuwa busy anabishana na mwamuzi wa 4 Phil Dowd na hakuliona goli lakini alishangilia sana kipenga cha mwisho kilipopigwa...Bofya hapa upate habari zaidi.

Tuesday 27 January 2015

AUSTRALIAN OPEN: NADAL ATOLEWA NA BERDYCH



Tomas Berdych amemgaragaza vibaya sana bigwa wa zamani Rafa Nadal na kumtupa nje ya mashindano makali sana duniani ya Australian Open  yanayoendelea huko Melbourne...Berdych kutoka Czech ni namba 7 duniani na alimchapa Nadal 6-2 6-0 7-6 (7-5) bila ubishi...Bofya hapa upate habari zaidi.

AFCON 2015: RATIBA YA MECHI ZA LEO (GMT)

LA LIGA: REAL MADRID SIGNS LUCAS SILVA


Lucas Silva, the U-21 midfielder from Brazil, has joined Real Madrid from a Cruzeiro from Brazil. 
 

FA CUP: DRAW YA ROUND YA 5 IMETOKA


Mpangilio wa mechi au kwa lugha ya kigeni draw ya FA Cu round ya 5 imetoka...Hebu cheki hapo chini upate mtazamo wa mechi zitakavyokuwa...

FA Cup fifth-round draw

Crystal Palace v Liverpool or Bolton Wanderers
Arsenal v Middlesbrough
Aston Villa v Leicester City
West Brom v West Ham
Bradford City v Sunderland or Fulham
Blackburn Rovers v Stoke City
Derby County v Reading
Preston NE or Sheffield Utd v Cambridge Utd or Manchester Utd

Monday 26 January 2015

AUSTRALIAN OPEN 2015: DJOKOVIC NDANI YA ROBO FAINALI


Bingwa wa dunia Novak Djokovic ameingia robo fainali baada ya kumtoa Gilles Muller...Djokovic amesinda 6-4 7-5 7-5 na nanaingia robo fainali bila kupoteza set hata moja...Wengine walioshinda ni pamoja na madada Serena na Venus...Serena alimtoa Garbine Muguruza wa Spain 2-6 6-3 6-2 na Venus amemtoa numba 6 duniani Agnieszka Radwanska...Bofya hapa upate habari zaidi.

FA CUP: MABINGWA WATETEZI ARSENAL WASONGA MBELE


Arsenal FC jana iliweza kuifunga Brighton and Hove Albion FC mabao 3-2 kwenye game ya kuingia round ya 5 ya michuano ya FA Cup...Arsenal kama kawaida walicheza vizuri sana hasa kipindi chote cha 1 ndani ya uwanja wa Amex...Theo Walcott alipachika bao mapema sekunde 89 na Mesut Ozil aliwapeleka Arsenal mbele kwa bao la karibu dakika ya 24...



Tomas Rosicky alipachika bao safi dakika ya 59 baada ya Chris O'Grady kupunguza mabao dakika ya 50...Brighton walichachamaa kipindi cha 2 na kusumbua lango la Arsenal lakini Arsenal walitumia uzoefu na kuidhibiti Brighton...Bofya hapa upate habari zaidi.


TFF: RAIS JAMAL MALINZI ATEMBELEA KAITABA


Rais wa TFF Jamal Emil Malinzi ametembelea uwanja wa Kaitaba uliopo Bukoba kukagua maendeleo ya uboreshaji wa uwanja huo...Malinzi aliongozana na wadau tofauti wakati wa ukaguzi huo wakiwemo wajumbe wa chama cha mpira wa miguu Mkoa wa Kagera (KRFA) na pia Malinzi ni Mwenyekiti wa KRFA...


Maelezo kutoka kwa Meneja wa mradi Doron Mommsen ni kwamba mradi wa kuweka nyasi kwenye uwanja huo unaendelea vizuri na sasa uwanja wa unasawazishwa...Bofya hapa uate habari zaidi.

Sunday 25 January 2015

FA CUP: MOURINHO AONA NOMA KUFUNGWA NA BRADFORD


Boss wa Chelsea, Jose Mourinho, amesema anaona noma sana kuchapwa na timu kadogo sana ya Bradford...Chelsea walichapwa 4-2 ndani ya Stamford Bridge jana na kutolewa nje ya mashindano ya FA Cup...Mourinho amesema ni aibu timu kubwa kufungwa na viji timu vidogo kama ilivyotokea kwa timu nyingi...


Timu zilizofungwa ni pamoja na Manchester City ambao walipigwa 2-0 na Middlesbrough, Souhampton walichapwa na Crystal Palace 3-2...Bofya hapa upate habari zaidi.


EPL: ARSENAL MBIONI KUMCHUKUA BEKI GABRIEL PAULISTA


Arsenal FC imekubaliana na Villarreal kimsingi kumchukua beki wa kati hatari Gabriel Paulista.

Saturday 24 January 2015

AFCON 2015: GHANA YACHOMOKA MWISHONI


Captain wa timu ya taifa ya Ghana Asamoah Gyan ameipa uhai nchi yake baada ya kufunga goli pekee mwishoni kabisa dhidi ya Algeria...Gyan alikosa mechi ya kwanza kutokana na kuugua Malaria lakini sasa yuko fit kuisaidia timu yake ya the Black Stars...Mechi haikuwa kali sana na timu zote 2 hazikunyesha juhudi kwenye lango la mwenzake na ilionekana wangetoka draw kabla ya Gyan kuchomoka na kupachika bao dakika za nyongeza...Bofya hapa upate habari zaidi.

Friday 23 January 2015

NBA 2015 ALL-STAR: LIST IMETOKA


Wakali wote wa NBA watakutana na kucheza katika jiji kubwa lenye watu kutoka dunia nzima New York kuanzia Mwezi wa 2 tarehe 13...All-Star game itchezewa eneo ninaloitwa Brooklyn kwenye uwanja wanaochezea Brooklyn Nets unaojuikana kama Barclays Center tarehe 15...Majina ya wachezaji ambayo yamechaguliwa na mashabiki yametoka na unaweza kuyapata kwa mara ya kwanza hapa hapa Max Sports...Stephen Curry point guard wa Golden State Warriors ndie aliyeshinda kwa kura nyingi kwenye list ya mashabiki wa mpira wa kikau akifuatiwa na LeBron James...Chungulia hapo chini utapata list nzima ya wachezaji...

AFCON 2015: MSIMAMO WA GROUP A

Group A

PositionTeamPlayedGoalDifferencePoints
Moving up1Congo214
Moving down2Gabon213
Moving down3Equatorial Guinea202
No movement4Burkina Faso2-21

AFCON 2015: MATOKEO YA MECHI ZA JANA

THU 22 JAN 2015 - AFRICA CUP OF NATIONS

Thursday 22 January 2015

AFCON 2015: RATIBA YA MECHI ZA LEO (GMT)

DELOITTE: LIST OF THE RICHEST TEAMS


Real Madrid is the richest club in the world.
 

AFCON 2015: CONGO YASHINDA MECHI YA KWANZA TOKA 1974


Congo haijawahi kushinda mechi ya African Cup of Nations toka 1974 na jana ilifanikiwa kuichapa Gabon 1-0 na kuongoza kundi A...Gabon walicheza vizuri kipindi karibu chote cha mwanzo na badae wakanyamazishwa na Prince Oniangue dakika ya 48 baada ya kupachika bao lililosababishwa na mpira wa corner...Congo sasa wanahitaji draw tu wakicheza na Burkina Faso Jumapili...Bofya hapa upate habari zaidi.

AUSTRALIAN OPEN: SERENA NDANI ROUND YA 3


Serena Williams na dada yake Venus Williams wanaendelea vizuri na wameingia round ya 3...Serena ameingia round ya 3 baada ya kumchapa Vera Zvonareva 7-5 6-0 kwenye michuano mikali sana duniani ya Australian Open...Mechi za leo ni kali sana na ni kati ya Victoria Azarenka na Caroline Wozniacki na kwa upande wa wanaume Novak Djokovic na bingwa mtetezi Stan Wawrinka...Bofya hapa upate habari zaidi.

LA LIGA: REAL MADRID YAPATA KIFAA HATARI


Real Madrid wameafikiana na timu ya Norway ya Strormsgodset kunyakua dogo mwenye umri wa miaka 16 Martin Odegaard...Dogo huyu hatari sana na ambae anatumia mguu wa kushoto alianza kuichezea timu yake ya taifa ya Norway akiwa na miaka 15 na timu nyingi Ulaya zilikuwa zinamtaka...Real Madrid wamesema leo ndio watamtoa kwenye vyombo vya habari...Bofya hapa pate habari zaidi.

Wednesday 21 January 2015

EPL: SAIDO BERAHINO HAUZWI


Mwenyekiti wa club ya West Bromwich Albion, Jeremy Peace, amesema England U-21 Saido Berahino hayuko sokoni...Mkuu huyo amesema huyo stiker atabakia hapo na toka mwaka jana alisisitiza dogo hayuko sokoni...Berahino anatafutwa sana vilabu vingi vya premiership lakini hicho kifaa kinawasaidia sana West Brom na wakimwachia club itayumba...Bofya hapa upate habari zaidi.

AFCON 2015: GUINEA YAITOA JASHO IVORY COAST

Wachezaji wa Guinea wakishangilia bao...
Timu ambayo ilitakiwa kuwa mfano katika Afcon 2015 Ivory Coast imecheza ovyo sana na kukimbizwa na Guinea kajitimu ambako walitakiwa kuwa wenyeji wa mashindano haya...Guinea walijitahidi sana na kuwapelekea mpira Ivory Coast na ndio walioanza kupachika bao kupitia Mohamed Yattara dakika ya 36...Wachezaji wachache wa Ivory Coast walionyesha uwezo wao akiwemo Gervinho na mchezaji wa bei mbaya kuliko wote Africa Wilfred Bony...

Mashabiki wa Guinea wakichangilia bao...
Gervinho alifanya kituko cha kumchapa mtu kitasa (kofi) na kulalamika sana alipopewa kadi nyekundu dakika ya 58...Ivory Coast walijaribu na hatimaye kupata bao dakika ya 72 kupitia kwa Seydou Doumbia...Bofya hapa upate habari zaidi.

AFCON 2015: MATOKEO YA MECHI ZA JANA

TUE 20 JAN 2015 - AFRICA CUP OF NATIONS