Wednesday 14 January 2015

NFL: JETS WAPATA KOCHA MPYA


New York Jets yapata kocha mpya ambae anajaza nafasi ya Rex Ryan ambae amekuwa kocha wa Buffalo Bills...Kocha mpya ni Todd Bowles ambae alikuwa coordinator wa Arizona Cardinals...Bowles anaingia Jets baada ya masaa 4 kutangazwa general manager mpya Mike Maccagnan...Jets wanajaribu kujipanga upya baada ya kufanya vibaya sana na kuwa na record ya 4-12...Bofya hapa upate habari zaidi.

No comments:

Post a Comment