Tuesday 20 January 2015

AFCON 2015: GHANA CHALI KWA SENEGAL


Ghana imeshindwa kushikilia draw baada ya kuchapwa 2-1 na Senegal...Kweli mpira dakika zote maana substitute Moussa Sow alifunga bao la 2 mwishoni kabisa pembeni ya box na kuwapa Simba wa Teranga ushindi muhimu sana...Ghana walianza kufunga baada ya winger wa Everton Christian Astu kufanyiwa foul na aliyefunga bao alikuwa Andrew Ayew...

Ayew akishangilia bao la 1
Baada ya hapo Senegal walipambana na Kara Mbodj aliwakosakosa Ghana kwa kugonga mwamba na dabae stiker wa Stoke City Mame Biram Diof alisawazisha...Bofya hapa upate habari zaidi.

No comments:

Post a Comment