Monday 19 January 2015

EPL: ARSENAL YAICHAPA MAN CITY BILA UBISHI


Arsenal imewanyamazisha watu waliokuwa wanaibeza baada ya kuichapa Manchester City 2-0 ndani ya Etihad...Game ilikuwa kali sana na timu zote zilikuwa makini kushambulia na kuzuia mabao lakini City walikuwa wana pwaya sana na labda Aguero ndiye aliyejituma kupita wenzake...Carzola alifunga bao la kwanza la penalty baada ya Kompany kumfanyia ndivyo sivyo Monreal ndani ya 18...


Arsenal walibadilisha style yao na kuweka mkazo kwenye defense na kupunguza ile kasi yao ya kawaida ya kushambulia kama nyuki...Bao la 2 lilitoka kwa Giroud dakika ya 67 baada ya kumtoka beki kiaina na kupachika bao...Bofya hapa upate habari zaidi.

No comments:

Post a Comment