Wednesday 14 January 2015

EPL: FALCAO ANAWEZA AKAONDOKA MAN UNITED


Radamel Falcao anaweza akaondoka Manchester United na kuchezea timu nyingine kubwa...Habari hizi zimetolewa na agent wake kutokana na uhalisi kuwa Falcao ameshindwa kuvuma Manchester United...Falcao toka aingie amefunga mabao 3 tu na alikuwa kwa mkopo wa milioni 6 na kama United wanamtaka inabidi watoe milioni 40 pounds na inavyoonekana Man United hawakotayari kutoa mpunga wote huo...Bofya hapa upate habari zaidi.

No comments:

Post a Comment