Wednesday 21 January 2015

EPL: SAIDO BERAHINO HAUZWI


Mwenyekiti wa club ya West Bromwich Albion, Jeremy Peace, amesema England U-21 Saido Berahino hayuko sokoni...Mkuu huyo amesema huyo stiker atabakia hapo na toka mwaka jana alisisitiza dogo hayuko sokoni...Berahino anatafutwa sana vilabu vingi vya premiership lakini hicho kifaa kinawasaidia sana West Brom na wakimwachia club itayumba...Bofya hapa upate habari zaidi.

No comments:

Post a Comment