Fernando Torres anaendelea kufanya vizuri na timu yake ya Atletico Madrid na jana amefunga mabao 2 dhidi ya Real Madrid...Bao la 1 mwanzo kabisa kipindi cha 1 na bao lingine mwanzo kabisa kipindi cha 2...Mechi iliisha 2-2 lakini Atletiko walikuwa tayari wana advantage ya mabao 2 mechi ya awali kwahiyo wameita kwa aggragate ya 4-2...Bofya hapa upate habari zaidi.
Max Sports brings you the latest sports news, reviews, statistics, videos, documentaries and more from across the globe ๐!
Friday, 16 January 2015
COPA DEL REY: TORRES AISIMAMISHA REAL MADRID
Fernando Torres anaendelea kufanya vizuri na timu yake ya Atletico Madrid na jana amefunga mabao 2 dhidi ya Real Madrid...Bao la 1 mwanzo kabisa kipindi cha 1 na bao lingine mwanzo kabisa kipindi cha 2...Mechi iliisha 2-2 lakini Atletiko walikuwa tayari wana advantage ya mabao 2 mechi ya awali kwahiyo wameita kwa aggragate ya 4-2...Bofya hapa upate habari zaidi.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)

No comments:
Post a Comment