Friday 16 January 2015

COPA DEL REY: TORRES AISIMAMISHA REAL MADRID


Fernando Torres anaendelea kufanya vizuri na timu yake ya Atletico Madrid na jana amefunga mabao 2 dhidi ya Real Madrid...Bao la 1 mwanzo kabisa kipindi cha 1 na bao lingine mwanzo kabisa kipindi cha 2...Mechi iliisha 2-2 lakini Atletiko walikuwa tayari wana advantage ya mabao 2 mechi ya awali kwahiyo wameita kwa aggragate ya 4-2...Bofya hapa upate habari zaidi.

No comments:

Post a Comment