Bingwa wa dunia Novak Djokovic ameingia robo fainali baada ya kumtoa Gilles Muller...Djokovic amesinda 6-4 7-5 7-5 na nanaingia robo fainali bila kupoteza set hata moja...Wengine walioshinda ni pamoja na madada Serena na Venus...Serena alimtoa Garbine Muguruza wa Spain 2-6 6-3 6-2 na Venus amemtoa numba 6 duniani Agnieszka Radwanska...Bofya hapa upate habari zaidi.
Max Sports brings you the latest sports news, reviews, statistics, videos, documentaries and more from across the globe ๐!
Monday, 26 January 2015
AUSTRALIAN OPEN 2015: DJOKOVIC NDANI YA ROBO FAINALI
Bingwa wa dunia Novak Djokovic ameingia robo fainali baada ya kumtoa Gilles Muller...Djokovic amesinda 6-4 7-5 7-5 na nanaingia robo fainali bila kupoteza set hata moja...Wengine walioshinda ni pamoja na madada Serena na Venus...Serena alimtoa Garbine Muguruza wa Spain 2-6 6-3 6-2 na Venus amemtoa numba 6 duniani Agnieszka Radwanska...Bofya hapa upate habari zaidi.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)

No comments:
Post a Comment