Monday 26 January 2015

AUSTRALIAN OPEN 2015: DJOKOVIC NDANI YA ROBO FAINALI


Bingwa wa dunia Novak Djokovic ameingia robo fainali baada ya kumtoa Gilles Muller...Djokovic amesinda 6-4 7-5 7-5 na nanaingia robo fainali bila kupoteza set hata moja...Wengine walioshinda ni pamoja na madada Serena na Venus...Serena alimtoa Garbine Muguruza wa Spain 2-6 6-3 6-2 na Venus amemtoa numba 6 duniani Agnieszka Radwanska...Bofya hapa upate habari zaidi.

No comments:

Post a Comment