Wednesday 7 January 2015

LA LIGA: LUIS ENRIQUE AKAA KIMYA KUWA HAPATANI NA MESSI


Kuna habari kutoka Barcelona zinazosema kuwa kocha wa Barca haelewani na Lionel Messi lakini kocha Luis Erique amekataa kuongelea issue hiyo...Tetesi zinasema Messi hana raha kuwa chini ya kocha Enrique ila kocha huyo anamsifia Messi kuwa ni mchezaji bora duniani...Bofya hapa upate habari zaidi.

No comments:

Post a Comment