Saturday 28 February 2015

EPL: MSIMAMO WA LIGI MPAKA SASA

PositionTeamPlayedGoalDifferencePoints
No movement1Chelsea263460
No movement2Man City263155
No movement3Arsenal262048
No movement4Man Utd261847
No movement5Southampton261946
No movement6Liverpool26945
No movement7Tottenham26544
No movement8West Ham26839
No movement9Swansea26-437
No movement10Stoke26-436
No movement11Newcastle26-1132
No movement12Everton26-428
No movement13Crystal Palace26-927
No movement14West Brom26-1027
No movement15Hull26-1026
No movement16Sunderland26-1425
No movement17QPR26-1822
No movement18Burnley26-1922
No movement19Aston Villa26-2322
No movement20Leicester26-1818

CAF CONFEDERATION CUP: YANGA YASONGA MBELE


Dar es Salaam Young Africans wamefanikiwa kufuzu round nyingine kombe la Confederation la Caf baada ya kuwatoa BDF XI kwa aggregate ya 3-2...Yanga ilifungwa 2-1 jana lakini magoli ya BDF XI hayakutosha kuwavusha timu hiyo ya Botswana...Mechi ilikuwa kali na timu zote zilijitahidi sana na Yanga ndio walioanza kwa makeke na gonga safi za hapa na pale na kukosa nafasi nzuri mapema kupitia kwa Ngassa...Yanga ambao ni mabingwa mara 24 katika ligi ya Tanzania walipata bao dakika ya 29 kupitia kwa Mrisho Khalfan 'Anko' Ngassa...Bofya hapa upate habari zaidi.

Friday 27 February 2015

QATAR 2022: BLATTER ASEMA LAZIMA IMALIZIKE IFIKAPO DECEMBER 18


Mzozo unaendelea juu ya lini World Cup ya Qatar 2022 ichezwe kwani kipindi cha kawaida cha mwezi wa 6 haitowezekana kucheza kutokana na joto kali huko Qatar...Vikao vinaendelea kutafuta muda muafaka wa kuchezana imependekezwa November na December ndio sahihi lakini jibu kamili litatolewa tarehe 20 March...Rais wa Shirikisho la Soka Duniani Fifa, Sepp Blatter, amesema ni lazima World Cup imalizike December 18 na si vinginevyo...Bofya hapa upate habari zaidi.

EPL: RATIBA YA MECHI ZA WEEKEND (GMT)

SAT 28 FEB 2015 - PREMIER LEAGUE
  • West HamvCrystal Palace12:45
  • BurnleyvSwansea15:00
  • Man UtdvSunderland15:00
  • NewcastlevAston Villa15:00
  • StokevHull15:00
  • West BromvSouthampton15:00
SUN 1 MAR 2015 - PREMIER LEAGUE
  • LiverpoolvMan City12:00
  • ArsenalvEverton14:05

EUROPA LEAGUE: LIVERPOOL YATOLEWA KWENYE MATUTA


Liverpool wameaga michuano ya Europa League mwisho kabisa kwenye matuta baada ya kutolewa na Besiktas 5-4...Liverpool walicheza vizuri kipindi cha kwanza lakini walishindwa kufunga na mambo yakabadilika kipindi cha pili baada ya Besiktas kushambulia sana na kupata bao dakika ya 72 kupitia kwa Tolgay Arslan...


Ba alikosakosa bao dakika ya mwisho alivyo gonga mwamba...Kutokana na agraggate kuwa 1-1 ilibidi aongeze muda alafu waingie kwenye matuta...Bofya hapa upate habari zaidi.

NBA: AFRICAN-AMERICAN WA KWANZA KUCHEZA NBA AFARIKI DUNIA


Earl Lloyd amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 86...Lloyd alianza kucheza basketball kama professional October 31, 1950 akiwa na timu ya Washington Capitols na alikuwa mtu wa kwanza mwenye asili ya kiafrika kucheza basketball kipindi hicho...



Lloyd amefungulia milango kwa vijana wengi kupata nafasi ya kucheza basketball kipindi ambacho ubaguzi wa rangi ulikuwa mkubwa na mpaka miaka ya 60 na 70 mambo yakaanza kuwa afadhali...Max Sports na wadau tunakuombea upumzike kwa amani...Amen...Bofya hapa upate habari zaidi.

Thursday 26 February 2015

LA LIGA: BUSQUETS ATSAINI MKATABA MPYA BARCA


Barcelona midfielder Sergio Busquets atsaini mkataba mpya wa miaka 4...Busquets mwenye umri wa miaka 26 amecheza mechi 313 na ameshinda Champions League mwaka 2009 na 2011...Bofya hapa upate habari zaidi.

KILIMANJARO MARATHON 2015: RWANDAIR WADHAMINI TENA


RwandAir wamekuwa wadhamini wa usafiri wa anga tena wa Kilimanjaro Premium Larger Marathon itakayofanyika mjini Moshi Jumapili ijayo...Kili Marathon sasa inajulikana ulimwengu mzima na ni mashindano ya kila mwaka ambayo yanahusisha watu 6,000 na wageni kutoka nje ya nchi kama 800 ambao wanatoka nchi zaidi ya 40 tofauti...



Mbio zitaanza mapema saa 12:30 alfajiri na zitakuwa na umbali wa kilometa 42 lakini unaweza ukachagua kilometa  21.2 au 10 au 5...Bofya hapa upate habari zaidi.

CHAMPIONS LEAGUE: DEFENSE YA ARSENAL MBOVU NA SASA WANAKAZI YA KUPANDA MLIMA KITONGA NA BAISKELI


Arsenal sasa wamejiongezea matatizo kwa kuwa na defense mbovu sana na sasa wana kazi mithili ya kupanda mlima kitonga kwa baiskeli ya Swala siku wakirudiana na Monaco kwani jana walichapwa 3-1...Inabidi Arsena wafunge mabao 3 wakikutana tarehe 17 March katika uwanja wa Stade Louis II...


Historia ya Champions League inasema hakuna timu iliyofungwa kwao mabao 2 kwenye mechi ya awali nyumbani ilifanikiwa kuendelea na nashindano hayo...Bofya hapa upate habari zaidi.

Wednesday 25 February 2015

CAF CONFEDERATION CUP: YANGA KUMKOSA COUTINHO

Coutinho...
Andrey Coutinho atakosa mechi muhimu ya 2 Caf Confederation Cup dhidi ya Botwana Defence Force (BDF X1) Ijumaa ijayo huko Botswana kutokana na kujeruhiwa kwenye mchi ya Vodacom Premier League dhidi ya Mbeya City...Yanga waliibuka na mabao 2 katika mechi yao ya awali dhidi ya BDF X1...

Nizar Khalfan...
Katibu wa club ya Yanga, Dr. Jonas Tibohora, amesema pamoja na Coutinho wako wengine watakosa ambano hilo...Midfielder Nizar Khalfan na beki Charles Wanyama watakosa mechi hiyo...Bofya hapa upate habari zaidi.

CHAMPIONS LEAGUE: SUAREZ AIZAMISHA MAN CITY


Manchester City hali sio nzuri kwani wana mlima wa kupanda mechi ya marudino mbayo itakuwa tarehe 18 March...Luis Suarez mwenye gharma ya milioni 75 amefanikiwa kuzamisha mabao 2 dhidi ya Man City kwenye game muhimu ya Champions League...Hali ingekuwa tete kama Messi nae angefanukiwa kufunga penalty lakini mpira uliisha 2-1...


Goli pekee la City lilitoka kwa Aguero dakika ya 69...Kipindi cha kwanza chote City walikimbizwa sana na walipata nafuu kipindi cha 2...Bofya hapa upate habari zaidi.

Tuesday 24 February 2015

CRICKET WORLD CUP 2015: CHRIS GAYLE AWEKA HISTORIA


Batsman Chris Gayle kutoa Jamaika ameweka historia kuwa mtu wa kwanza kuwa na 'double century' kwenye World Cup ya Cricket...Gayes alipata innings 215 katika mechi dhidi ya Zimbabwe kwenye Pool B huko Canberra...Rekodi ya zamani ilikuwa 188 innings not out na aliiweka Gary Kirsten kutoka Afrika ya Kusini mwaka 1996...Bofya hapa upate habari zaidi.

TFF: MALINZI ATOA POLE KWA NIABA YA TFF NA WADAU WA SOKA NCHINI


Rais wa Shirikisho la Soka nchini Tanzania Jamal Malinzi ametoa pole kwa niaba ya TFF na wadau wote wa soka nchini kwa familia ya aliyekuwa mchezaji wa timu ya Taifa Cristopher Alex aliyefariki juzi huko jijini Dodoma...Cristopher Alex alitoa mchango wake mkubwa katika soka la Tanzania kwa kuichezea Taifa Stars na club kubwa hapa jiji Dar es Salaam ya Simba SC...Max Sports na wadau tuna toa pole kwa ndugu jama na marafiki...Apumzike kwa amani...Amen...Bofya hapa upate habari zaidi.

CHAMPIONS LEAGUE: RATIBA YA MECHI ZA LEO (GMT)

Monday 23 February 2015

EPL: VAN PERSIE ATEMBELEA MAGONGO BAADA YA KUUMIA KWENYE GAME YA SWANSEA


Robin van Persie aliumia katika game dhidi ya Swansea ambayo swansea waliibuka na ushindi wa 2-1...


Van Persie ambae anamagoli 10 msimu huu ilibidi aendelee kucheza na maumivu kutokana na hali halisi ambayo walikuwa wametumia nafasi zote 3 za substitution...Bofya hapa upate habari zaidi.

EPL: MSIMAMO WA LIGI MPAKA SASA

PositionTeamPlayedGoalDifferencePoints
No movement1Chelsea263460
No movement2Man City263155
No movement3Arsenal262048
No movement4Man Utd261847
No movement5Southampton261946
Moving up6Liverpool26945
Moving down7Tottenham26544
No movement8West Ham26839
No movement9Swansea26-437
No movement10Stoke26-436
No movement11Newcastle26-1132
No movement12Everton26-428
No movement13Crystal Palace26-927
No movement14West Brom26-1027
No movement15Hull26-1026
No movement16Sunderland26-1425
No movement17QPR26-1822
No movement18Burnley26-1922
No movement19Aston Villa26-2322
No movement20Leicester26-1818