Sunday 1 February 2015

SERIE A: ROMA YAMNYAKUA DOUAMBIA


Roma wamemnyakua Seydou Doumbia kutoka CSKA Moscow...Kifaa hicho mbacho kinatokea Ivory Coast kiliingia CSKA mwala 2010 na kufanikiwa kupata mabao 84 katika mechi 130...Sasa Doumbia yuko anaichezea timu yake ya Ivory Coast kwenye michuano ya Afcon...Bofya hapa upate habari zaidi.

No comments:

Post a Comment