Friday 13 February 2015

EPL: KIPATO CHA MANCHESTER UNITED CHA PUNGUA 14%

Manager van Gaal akiwa na CEO wa Man U
Ed Wooodward
Habari zilizotolewa na club hiyo zinasema kipato kimepungua kwa asilimia 14 na pia wana deni la milioni 380.5 pounds...Kutokana na Manchester kuwa timu kubwa na tajiri, kushuka kwa kipato hicho hakutaisumbua timu kwani boss Ed Woodword amesema issue za tv rights ambazo zimetangazwa zitawaingizia kipato zaidi kwa asilimia 70...Bofya hapa upate habari zaidi

No comments:

Post a Comment