Friday 13 February 2015

EPL: HAZARD KUBAKI CHELSEA


Belgian International Eden Hazard amesaini mkataba mpya ambao utamweka darajani kwa miaka mitano na nusu ijayo...Hazard alinyakuliwa kutoka club ya Ufaransa ya Lille kwa milioni 32 pounds mwaka 2012...Hazard akiwa na Chelsea amefunga mabao 43 katika games 147 alizocheza...Bofya hapa upate habari zaidi.

No comments:

Post a Comment