Thursday 5 February 2015

VPL: YANGA YAONGOZA LIGI


Yanga imemtoa Azam kileleni na kushika uskani baada ya kumchapa Coastal Union 1-0...Mechi ilikuwa kali sana na pande zote zilionesha makeke sana ndani ya uwanja wa Mkwakwani Tanga...Nadir Haroub ndie aliyefanikiwa kufunga bao pekee dakika ya 11...Bofya hapa upate habari zaidi.

No comments:

Post a Comment