Monday 23 February 2015

EPL: VAN PERSIE ATEMBELEA MAGONGO BAADA YA KUUMIA KWENYE GAME YA SWANSEA


Robin van Persie aliumia katika game dhidi ya Swansea ambayo swansea waliibuka na ushindi wa 2-1...


Van Persie ambae anamagoli 10 msimu huu ilibidi aendelee kucheza na maumivu kutokana na hali halisi ambayo walikuwa wametumia nafasi zote 3 za substitution...Bofya hapa upate habari zaidi.

No comments:

Post a Comment