Chuba Akpom amekubali kubaki Arsenal kwa kusaini mkataba mpya ambao utamweka Emirates miaka 4 na nusu... Burussia Dortmund, Feyenoord, Red Bull Salzburg na Liverpool wote walikuwa wanamtolea macho huyu dogo mwenye umri wa miaka 19 lakini kawapiga chini na Wenger amefurahi Akpom ameamua kubaki Emirates...Bofya hapa upate habari zaidi.
Max Sports brings you the latest sports news, reviews, statistics, videos, documentaries and more from across the globe 🌎!
Thursday, 5 February 2015
EPL: CHUBA AKPOM AKUBALI KUBAKI EMIRATES
Chuba Akpom amekubali kubaki Arsenal kwa kusaini mkataba mpya ambao utamweka Emirates miaka 4 na nusu... Burussia Dortmund, Feyenoord, Red Bull Salzburg na Liverpool wote walikuwa wanamtolea macho huyu dogo mwenye umri wa miaka 19 lakini kawapiga chini na Wenger amefurahi Akpom ameamua kubaki Emirates...Bofya hapa upate habari zaidi.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)

No comments:
Post a Comment