Thursday 5 February 2015

EPL: CHUBA AKPOM AKUBALI KUBAKI EMIRATES


Chuba Akpom amekubali kubaki Arsenal kwa kusaini mkataba mpya ambao utamweka Emirates miaka 4 na nusu... Burussia Dortmund, Feyenoord, Red Bull Salzburg na Liverpool wote walikuwa wanamtolea macho huyu dogo mwenye umri wa miaka 19 lakini kawapiga chini na Wenger amefurahi Akpom ameamua kubaki Emirates...Bofya hapa upate habari zaidi.

No comments:

Post a Comment