Tuesday 3 February 2015

CHAMPIONSHIP: READING WAISHANGAZA LIGI BAADA YA KUMRUDISHA YAKUBU UK


Reading F.C. wameamua veteran Yakubu Aiyegbeni anaweza kuisaidia timu ifanye vizuri...Yakubu aliondoka ligi za Uingereza miaka 3 ilipita na akachezea timu ya Guangzhou na badae akaenda Qatar kuichezea timu ya Al Rayyan...Nigerian international amewahi kuzichezea timu za Portsmouth, Everton na Blackburn...Amecheza mechi za premiership 250 na alifanikiwa kufunga magoli 96...Bofya hapa upate habari zaidi.

No comments:

Post a Comment