Tuesday 3 February 2015

EPL: PHILIPPE COUTINHO KUBAKI LIVERPOOL MPAKA 2020


Brazilian international Philippe Coutinho ambae anacheza nafasi ya midfield amesaini mkataba mpya ambao utamweka the Kop mpaka mwaka 2020...Coutinho alitokea Inter Milan miaka miwili iliyopita katika dirisha dogo la usajili la January na kocha wa Liverpool Brendan Rodgers amesema Coutinho anaweza kuwa mchezaji bora duniani...Bofya hapa upate habari zaidi.

No comments:

Post a Comment