Friday 31 October 2014

EPL: STURRIDGE HATOCHEZA GAME DHIDI YA REAL MADRID, NEWCASTLE NA CHELSEA


Daniel Sturrige ambae ni majeruhi aliumia toka mwezi wa 8 na bado atakuwa nje mpaka November 23...Stricker huyo wa Liverpool atakosa mechi muhimu ya Real Madrid, Newcastle na Chelsea...Ni pigo kubwa kwa Liverpool ambao bado hawajaweza kukaa sawa na kuziba pengo la Suarez...Bofya hapa upate hbari zaidi.

VPL: AZAM WATINGA MTWARA KUIKABILI NDANDA FC


Azam FC wako tayari kuikabili Ndanda FC kesho kwenye uwanja wa Nangwanda Sijaona...Kikosi cha Azam kitakuwa pungufu kutokana na wachezaji 2 kuwa majeruhi na mmoja alipata matatizo ya kifamilia na hajarudi kutoka Ivory Coast...Meneja wa Azam Jemadari Said Kazumari amesema kikosi ni kikubwa kwahiyo wako fit na baada ya game na Ndanda FC watacheza mechi ya kirafiki na Kariakoo FC mjini Lindi...Bofya hapa upate habari zaidi.

EPL: MSIMAMO WA LIGI MPAKA SASA

PositionTeamPlayedGoalDifferencePoints
No movement1Chelsea91523
No movement2Southampton91519
No movement3Man City9917
No movement4West Ham9516
No movement5Arsenal9414
No movement6Swansea9314
No movement7Liverpool9114
No movement8Man Utd9313
No movement9Everton9212
No movement10Hull9011
No movement11Tottenham9-211
No movement12Stoke9-211
No movement13West Brom9-110
No movement14Newcastle9-510
No movement15Aston Villa9-1010
No movement16Crystal Palace9-39
No movement17Leicester9-49
No movement18Sunderland9-98
No movement19QPR9-107
No movement20Burnley9-114

EPL: WEEKEND FIXTURES (GMT)

SAT 1 NOV 2014 - PREMIER LEAGUE
  • NewcastlevLiverpool12:45
  • ArsenalvBurnley15:00
  • ChelseavQPR15:00
  • EvertonvSwansea15:00
  • HullvSouthampton15:00
  • LeicestervWest Brom15:00
  • StokevWest Ham15:00
SUN 2 NOV 2014 - PREMIER LEAGUE
  • Man CityvMan Utd13:30
  • Aston VillavTottenham16:00

Thursday 30 October 2014

BOXING: MIAKA 40 IMEPITA TOKA PAMBANO ILILILO CHANGAMSHA DUNIA LA 'THE RUMBLE IN THE JUNGLE'


The Rumble in the Jungle ilikuwa pambano la boxing la kihistoria lililofanyika nchini Zaire (DR Congo) mwaka 1974.

BMW MASTERS: ROUND YA 1 YAONGOZWA NA ALEXANDER LEVY


Mfaransa Alexander Levy anaongoza round ya kwanza ya BMW Masters huko Shanghai...Levy aliongoza kwa -7 na birdies 7 akifuatiwa na Romain Wattel -6...Mabingwa wengine wa golf Ian Poulter na justin Rose hawajanza vizuri labda round za mbele watakaa sawa...Bofya hapa upate habari zaidi.


LEAGUE CUP: MAN CITY YACHAPWA NA NEWCASTLE


Manchester City wamechapwa 2-0 na Newcastle United na kutolewa nje ya League Cup...Timu ya Newcastle yenye vijana wengi ilianza mapema kupata bao kupitia kwa Ronaldo Aarons dakika ya 6...Moussa Sissoko nae akamalizia kiindi cha 2 dakika ya 75....Sasa wataasafiri na kukutana na Tottenham wakiitafuta nusu fainali toka 1975-1975...Bofya hapa upate habari zaidi.

FIFA WORLD CUP: URUSI YATOA NEMBO YA WORLD CU 2018


Urusi imezindua nembo ya World Cup 2018 ndani ya International Space Station...Nembo hiyo imejumuisha historia na mafanikio ya nchi...


Nembo hiyo ilionyeshwa nje ya jengo kubwa la Bolshoi Theater huko Moscow...Bofya hapa upate habari zaidi.

Wednesday 29 October 2014

NBA: ROOKIE WA LAKERS JULIUS RANDLE AVUNJA MGUU


Dogo Julius Randle rookie kutoka chuo kikuu cha Kentucky na ni draft pick wa kwanza wa Lakers ameanza vibaya baada ya kuvunja mguu siku yake ya kwanza kuichezea LA Lakers...Randle alipata mkasa huo katikati ya kipindi cha 4 na kuacha mashabiki wakibaki kimya huku madaktari wakimhangaikia...



Madaktari walisema alivunja tibia...Kobe Bryant alibaki akitingisha kichwa na kusikitika...Lakers walipoteza hiyo game dhidi ya Huston Rockets 108-90...Bofya hapa upate habari zaidi.

LEAGUE CUP: CHELSEA YATOLEWA JASHO


Chelsea chini ya usimamizi wa Jose walitolewa jasho sana na kitimu cha ligi daraja ya 2...Shrewsbury walikuwa wanaonekana wako fiti kuliko chelsea katika game ambayo Chelsea wa form yao walitakiwa washinde kama 10 hivi lakini haikuwa hivyo...Kocha wa Chelsea anamshukuru veteran Didier Drogba kwa kuokoa jahazi na pia walizawadiwa goli la bure...Mourinho alikubali kuwa hali ilikuwa tete na walijaribu kushinda dakika 10 za mwisho...Bofya hapa upate habari zaidi.

LEAGUE CUP: MATOKEO YA MECHI ZA JANA

Tuesday 28 October 2014

RWANDA NATIONAL FOOTBALL LEAGUE: AZAM TV NA TELE 10 WAPAMBANA


Azam TV na kikundi cha makampuni kujilikanacho kama Tele 10 wanapabana ili waweze kurusha ligi ya Rwanda live...Shirikisho la soka la Rwanda bado liko kwenye mazungumzo na wamesema wanahitaji kampuni ambayo itwasaidia kujazia budget ya ligi na kuongeza udhamini...Bofya hapa upate habari zaidi.

Monday 27 October 2014

ROCK CITY MARATHON: JOSEPH PANGA AIBUKA MSHINDI


Mtanzania Joseph Panga ameibuka mshindi wa mbio za Rock City Marathon...Panga alitumia saa 1 dakika 02 na sekunde 36 akikimbia kilometa 21...Wapili alikuwa mkenya Sammy Nyokae na kwa upande wa wanawake watanzania wawili waliibuka kidedea...


Rock City Marathon ya 6 ni shughuli kubwa ya kuvutia utalii wa ndani iliandaliwa na Capital Plus International wakishirikiana na NSSF na Mwanza Hotel...Bofya hapa upate habari zaidi.

BAFANA BAFANA: CAPTAIN NA KIPA WA BAFANA SENZO MEYIWA AFARIKI KWA KUPIGWA RISASI


Habari zinazoingia kutoka Afrika ya Kusini ni za masikitiko makubwa kutokana na kupoteza maisha kwa captain na kipa wa timu ya taifa ya Afrika ya Kusini Bafana Bafana Senzo Meyiwa...Senzo Meyiwa ambae pia ni kipa wa timu maafuru sana Orlando Pirates alipigwa risasi nyumbani kwa rafiki yake wa kike wakati akijaribu kupambana na majambazi waliovamia nyumba ya rafiki huyo...Ndani ya masaa 24 toka alipoichezea timu yake iliyoshinda 4-1 dhidi ya Ajax Cape Town captain alipoteza maisha yake...Polisi huko Afrika ya Kusini wamesema tukio hilo lilifanyika katika township ya Vosloorus maili 20 kutoka Jozi...Meyiwa alifariki alipofikishwa tu hospitali...Orlando Pirates wamesema wataongea na waandishi wa habari leo kuhusiana na kifo cha mchezaji wao...Max Sports na wadau wote wanaopenda mpira  tumepokea habari hizi kwa masikitiko makubwa sana...Pumzika kwa amani caaptain...Bofya hapa upate habari zaidi.

EPL: MANCHESTER UNITED YACHOMOA MWISHONI


Robin van Persie ndie aliyewaokoa Manchester United dakika za mwisho kabisa za majeruhi jana usiku na kufanya uwanja mzima wa Old Trafford kuamka na kushangilia sana...Chelsea walionekana kuwa ndio washindi baada ya Didier Drogba kupachika bao dakika ya 53 na kucheza mpira safi kuliko Man U...Drogba anapata bao kwa mara ya 1 toka March 2012...Sasa Chelsea wako mbele kwa points 4 wakifuatiwa na Southampton...Chelsea ndio timu pekee ambayo haijafungwa msimu huu...Bofya hapa upate habari zaidi.



EPL: MSIMAMO WA LIGI MPAKA SASA

PositionTeamPlayedGoalDifferencePoints
No movement1Chelsea91523
No movement2Southampton91519
No movement3Man City9917
No movement4West Ham9516
No movement5Arsenal9414
No movement6Swansea9314
No movement7Liverpool9114
No movement8Man Utd9313
Moving up9Everton9212
Moving down10Hull9011
Moving down11Tottenham9-211
Moving down12Stoke9-211
Moving down13West Brom9-110
Moving up14Newcastle9-510
Moving down15Aston Villa8-810
Moving down16Crystal Palace9-39
Moving down17Leicester9-49
Moving down18Sunderland9-98
No movement19Burnley9-114
No movement20QPR8-124