Thursday 23 October 2014

CHAMPIONS LEAGUE: ARSENAL YASHINDA DAKIKA ZA LALA SALAMA


Arsenal wamefanikiwa kushinda mechi yao dhidi ya RSC Anderlecht 2-1...Arsenal ndio walioanza kuchapwa bao kutoka kwa Andy Najar dakika ya 71 na ikaionekana kwamba hali itakuwa hivyo mpaka mwisho lakini dakika ya 89 Kieran Gibbs alisawazisha na Lukas Podolski akapachika bao la ushindi dakika za nyongeza...Jana ilikuwa siku ya kuzaliwa Arsene Wenger kwahiyo ushindi huu umekuja wakati mzuri...Bofya haapa upate haabari zaidi.

No comments:

Post a Comment