Saturday 4 October 2014

F1: VETTEL KUHAMIA FERRARI


Bingwa wa dunia mara 4 Sebastian Vettel ameamua kuhamia Ferarri...Vettel atachukua nafasi ya Fernando Alonzo ambae anahamia McLaren...Nafasi ya Vettel itachukuliwa na mrusi kutoka Toro Rosso Daniil Kvyat...Vettel amekuwa supported na Red Bull toka anamiaka 12 sasa ameamua kufanya kitu kipya na hasa alivyoona mwenzake wa Red Bull Ricciardo akiendelea kufanya vizuri mwaka huu...Bofya hapa upate habari zaidi.

No comments:

Post a Comment