Thursday 30 October 2014

FIFA WORLD CUP: URUSI YATOA NEMBO YA WORLD CU 2018


Urusi imezindua nembo ya World Cup 2018 ndani ya International Space Station...Nembo hiyo imejumuisha historia na mafanikio ya nchi...


Nembo hiyo ilionyeshwa nje ya jengo kubwa la Bolshoi Theater huko Moscow...Bofya hapa upate habari zaidi.

No comments:

Post a Comment