Thursday 9 October 2014

SHANGHAI MASTERS: FERRER AMCHAPA MURRAY


Mambo sio mambo kwani Murray sasa anapoteza nafasi ya kuingia ATP Finals baada ya kuchapwa na David Ferrer katika michuan mikali ya Shanghai Masters...Andy Murray alichapwa 2-6 6-1 6-2 katika round ya 3 ya Shanghai Masters...Mspanish huyo Ferrer sasa amempita Murray kwenye mbio za kuelekea ATP Finals...Bofya hapa upate habari zaidi.


No comments:

Post a Comment