Sunday 26 October 2014

EL CLASICO: REAL MADRID YAFANYA KWELI


Real Madrid imeonyesha ulimwengu jinsi walivyo kuwa fit baada ya kuichapa Barcelona mabao 3-1...Barca ndio game yao ya kwanza kupoteza...Benzema alicheza vizui sana na kuwakosa kosa Barca na kujipatia goli laki sana...Neymar ndie alieanza kufunga mapema mpaka Ronaldo aliposawazisha dakika ya 35 kwa penalty...Pepe aliawapeleka mbele dakika ya 50 na Karim Benzema kupachika bao safi dakika ya 61...Hebu cheki hapo chini mambo yalivyokuwa...Bofya hapa upate habari zaidi.


No comments:

Post a Comment