Thursday 26 February 2015

LA LIGA: BUSQUETS ATSAINI MKATABA MPYA BARCA


Barcelona midfielder Sergio Busquets atsaini mkataba mpya wa miaka 4...Busquets mwenye umri wa miaka 26 amecheza mechi 313 na ameshinda Champions League mwaka 2009 na 2011...Bofya hapa upate habari zaidi.

No comments:

Post a Comment