Tuesday 13 January 2015

BALLON D'OR: CRISTIANO RONALDO MCHEZAJI BORA DUNIANI


Cristiano Ronaldo amechaguliwa tena kwa mara ya 2 mfululizo kuwa mchezaji bora wa dunia...Ronaldo amewashinda forward wa Barcelona Lionel Messi na kipa wa Bayern Munich Manuel Neuer...Kwa upande wa wanawake Nadine Kessler wa Wolfsburg na pia anaichezea timu yake ya Germany amenyakua ushindi...Goli la mwaka limeenda kwa James Rodriguez na kocha wa mwaka amekuwa Joachim Low aliyewapeleka Germany fainali ya World Cup...Kocha wa mwaka kwa upade wa mpira wa wanawake ni kocha wa Wolfsburg Ralf Kellermann...Bofya hapa upate habari zaidi.

No comments:

Post a Comment