Saturday 17 January 2015

TAIFA STARS: NOOIJ ATAJA KIKOSI CHA KUIKABILI RWANDA


Kikosi cha watu 26 kimetajwa na kocha Mart Nooij wa Taifa Stars tayari kupambana na Rwanda kwenye mechi ya kirafiki...Mechi hiyo inatarajiwa kufanyika tarehe 22 January jiji Mwanza ndani ya CCM Kirumba...Taifa Stars watakuwa kambini kuanzia leo jijini Dar na wengine 10 wataanza kujifua leo huko Mwanza...Nooij amechagua kikosi kutokana na umwi na pia anaangalia michuano ya African Nations Chamionship (CHAN) mwaka huu...Bofya hapa uate habai zaidi.

No comments:

Post a Comment