Thursday 22 January 2015

AUSTRALIAN OPEN: SERENA NDANI ROUND YA 3


Serena Williams na dada yake Venus Williams wanaendelea vizuri na wameingia round ya 3...Serena ameingia round ya 3 baada ya kumchapa Vera Zvonareva 7-5 6-0 kwenye michuano mikali sana duniani ya Australian Open...Mechi za leo ni kali sana na ni kati ya Victoria Azarenka na Caroline Wozniacki na kwa upande wa wanaume Novak Djokovic na bingwa mtetezi Stan Wawrinka...Bofya hapa upate habari zaidi.

No comments:

Post a Comment