Wednesday 14 January 2015

ITF/CAT EASTERN AFRICA JUNIOR CHAMPIONSHIP 2015: TANZANIA YAFANYA VIZURI


Vijana wa Tanzania waendelea kuinyanyua bendrya ya taifa juu kwenye michuano mikali ya vijana ya tennis katika viwanja vya Gymkhana Club jijini Dar Es Salaam...Deogratius Felix wa Tanzania  alimchapa Kael Shah kutoka Kenya 1-6 6-1 6-4...Vijana wote hao walionyesha tennis ya hali ya kimataifa na kweli Afrika Mashariki tuna vipaji safi ni juhudi zetu binafsi kuvikuza...Mandi JF nae kwa upande wa kina dada U-14 amejitahidi sana na kuingia fainali ya michuano hiyo...Endelea kufuatilia matokea hapa hapa Max Sports...

No comments:

Post a Comment