Sunday 18 January 2015

VPL: RUVU YAPONEA CHUPUCHUPU


Yanga na Ruvu Shoting walitoka 0-0 katika mechi kali ambayo Yanga ilionyesha uwezo wa hali ya juu...Ruvu nao walikuwa wabishi na kukosa nafasi nyingi za wazi walizo tengeneza...Pamoja na timu zote kucheza vizuri kulikuwa na foul nyingi kwenye game na mwamuzi alikuwa yuko busy kusuluhisha masuala ya ndivyo sivyo...Katika mechi ya awali Ruvu walichapwa 7-0 na Yanga na sasa wamekomaa hawataki tena kuaibishwa...Bofya hapa upate habari zaidi.

No comments:

Post a Comment