Monday 12 January 2015

LA LIGA: MESSI ASEMA HAENDI POPOTE


Lionel Messi ameamua kumaliza mino'gono ambayo ilikuwa imeiwekea kiwingu timu yake ya Barcelona...Messi amesema haendi poote si Chelsea wala Manchester City na hajaomba club imfukuze mtu...Messi alisema hayo baada ya game kali dhidi ya Atletico Madrid ambayo Barca walishinda 3-1...Tetesi ziliibuka baada ya kutoelewana kwa kocha Enrique na star huyo na sasa issue iko wazi Messi bado yupo yupo...Bofya hapa upate habari zaidi.

No comments:

Post a Comment