Thursday 15 January 2015

EPL: FLETCHER MBIONI KUONDOKA


Darren Flecther Scottish international anataka kuondoka Manchester United na Tony Pulis wa West Brom anamtaka...Mkataba wake unaisha na katika dirisha dogo la usajili timu nyingi zinamtaka baada ya kusikia kapona matatizo yake ya tumbo...Fletcher alishkuwa kaimu captain chini ya Van Gaal lakini alianza mechi chache hususan kama 5 hivi...Bofya hapa upate habari zaidi.

No comments:

Post a Comment