Friday 16 January 2015

FIFA: DAVID GINOLA KUJITOSA MBIO ZA URAIS


France international wa zamani David Ginola ameamua anataka kuongoza Fifa...Atapambana na Sepp Blatter kuwania urais wa chama cha mpira duniani...Kuwania urais wa Fifa inahitaji kupata support ya vyama vikubwa 5 vya mpira na pia uwe unajihusisha na mrira kwa miaka 2 kati ya miaka 5...Bofya hapa upate habari zaidi.

No comments:

Post a Comment