Thursday 30 June 2016

TFF: MECHI ZOTE ZA KIMATAIFA KUSIMAMIWA NA TFF KUANZIA SASA


TFF itasimamia mechi zote za kimataifa kuanzia sasa...TFF itasimamia kila kitu kinachihusu mechi za kimataifa kuanzia mapokezi ya timu za wageni,  usalama wa wachezaji mpaka kuratibu viingilio na uuzwaji wa tickets...Hii imekuja kutokana na Yanga kuruhusu mashabiki kuingia bure na kuzua balaa...Vyombo vya usalama vilipata kazi ya ziada baada ya watu kutaka kuingia uwanjani wakati kumejaa...Kanunu ya FIFA kifungu cha 67, CAF kifungu 59 na TFF kifungu cha 52 kinaruhusu Mamlaka husika kusimamia shughuli zote za machi za kimataifa...Bofya hapa upate habari zaidi.

No comments:

Post a Comment