Thursday 16 June 2016

EURO 2016: FRANCE YASHINDA KWA MBINDE




Timu ya France imefanikiwa kuifunga ya Albania 2-0 na kufanikiwa kuchukua nafasi ya kwanza katika group lake...Kujiakikishia kuingia katika round ya pili ya timu 16 tu...Antoine Grienzmann ndio mchezaji wa kwanza kuipatia Ufaranza bao la kwanza katika dakika ya 90 na baada ya dakika 5 za nyongeza Dimitri Payet akaongeza goli la pili lililoisambaratisha timu ya Albania...




Pamoja na ushindi mambo hayakuwa rahisi sana kwa France kwani walikoswakoswa sana na Albania...Giroud alikosa mabao ya wazi katika nafasi ambazo alitakiwa kufuna...

No comments:

Post a Comment