Wednesday 29 June 2016

CAF CONFEDERATION CUP 2016: YANGA YAZAMISHWA NA MERVEILLE BOPE


Ndoto za Young Africans au maarufu kwa jina la Yanga jana liishia ukingoni baada ya kufungwa bao pekee na Merveille Bope...Bao hili la TP Mazembe liliingia mnamo dakika ya 70 na ushee hivi mbele ya mashabiki kibao waliopata nafasi ya kuangalia mechi bure...Mechi nyigine ya yanga itakuwa na Madeama ya Ghana kati ya tarehe 15, 16 au 17...


Ushindi dhidi ya Madeama nyumbani na ushindi dhidi ya Yanga umeipa TP Mazambe wana wa Lubumbashi points 6 na kuongoza Group A...Ni ushindi wa kwanza wa nje wa TP Mazembe mwaka huu katika michuano ya Caf...Bofya hapa upate habari zaidi.

No comments:

Post a Comment