Tuesday 28 June 2016

EURO 2016: ROY HODGSON AMEACHIA NGAZI BAADA YA KICHAPO CHA ICELAND


Kocha wa timu ya England, Roy Hodgson, ameona isiwe tabu maana timu ya England hasara tupu...Hodgson amesema anaondoka wakati akiongea na waandishi wa habari baada ya kuchapwa na Iceland...


Kocha huyo amesema makocha wasaidizi Ray Lewington na Gary Neville na wataondoka...


England wako kwenye hali mbaya sana kwenye timu ya taifa na nchi baada ya kujitoa kwenye Jumuiya ya Umoja wa Ulaya (EU) hali ambayo imesababisha pesa yao kushuka sana dhidi ya dola...Bofya hapa upate habari zaidi.

No comments:

Post a Comment