Showing posts with label Roy Hodgson. Show all posts
Showing posts with label Roy Hodgson. Show all posts

Thursday, 19 December 2024

MOTIVATION | ROBERTO CARLOS WAS TOL HE WILL NEVER SUCCEED

 


Throwback to 1995 when Roy Hodgson told Roberto Carlos that he wouldn’t make it as a left back… 

Roberto Carlos: “Once upon a time at Inter Milan, Roy Hodgson told me I would never succeed as left back. He told me l wasn’t good enough. I told him that he doesn’t understand football.”

He then went onto win:

🏆 La Liga

🏆 Champions League

🏆 Supercopa

🏆 Brazil Série A

🏆 Campeonato Paulista

🏆 Turkish Cup

🏆 Copa America

🏆 Club World Cup

🏆 World Cup

And he became one of the greatest, if not the greatest, left back of all time 🐐

Thursday, 14 July 2016

ENGLAND: SUNDERLAND YAMRUHUSU ALLARDYCE KUONGEA NA FA KUHUSU TIMU YA TAIFA


Uongozi wa Sunderland umemruhusu Sam Allardyce kuongea na Football Association (FA) ya England kuhusu kazi ya kuifundisha timu ya taifa...Pamoja na hayou Sunderland wamesema bado wanamhitaji Allardyce kwa mipango ya club hiyo...England wanatafuta boss mpya wakuifundisha timu toka Roy Hodgson aondoke June 28...Allardyce ameonekana akitoka nyumbani kwa boss wa FA David Gill kwahiyo inaonyesha anaongoza kwenye mbio za kuwania nafasi hiyo kubwa...Bofya hapa upate habari zaidi.

Tuesday, 28 June 2016

EURO 2016: ROY HODGSON AMEACHIA NGAZI BAADA YA KICHAPO CHA ICELAND


Kocha wa timu ya England, Roy Hodgson, ameona isiwe tabu maana timu ya England hasara tupu...Hodgson amesema anaondoka wakati akiongea na waandishi wa habari baada ya kuchapwa na Iceland...


Kocha huyo amesema makocha wasaidizi Ray Lewington na Gary Neville na wataondoka...


England wako kwenye hali mbaya sana kwenye timu ya taifa na nchi baada ya kujitoa kwenye Jumuiya ya Umoja wa Ulaya (EU) hali ambayo imesababisha pesa yao kushuka sana dhidi ya dola...Bofya hapa upate habari zaidi.

Tuesday, 19 November 2013