Tuesday 28 June 2016

EURO 2016: EDEN HAZARD AFUNGA BAO KALI SANA HUKU BELGIUM WAKIIRARUA HUNGARY


Bao la Eden Hazard nyota wa Chelsea FC limezua gumzo kwani ni kati ya magoli bora Euro 2016...Hazard alikatizia kutoka kushoto na kuwapita wachezaji wawili na kupachika bao sa kabisa...Belgium imemewachapa hungary 4-0 na sasa itakutana na Wales robo fainali...

No comments:

Post a Comment