Wednesday 29 June 2016

CHELSEA: MITCHY WA BELGIUM KARIBU ANAINGIA STAMFORD BRIDGE


Chelsea wako karibu kumnyakua kifaa cha Belgium na Marseille Mitchy Batshuayi...Chelsea wako tayari kutoa Pounds milioni 33 kumchuku Mitchy...Timu nyingi zikiwemo West Ham united na Juventus wamepigwa chini kwa dau lao dogo na Crystal Palace walikubaliwa kwa milioni 31.6 lakini Chelsea wamapanda dau na kutoa offer ya milioni 33...Mitchy anaeza kuwa usajili wa kwanza wakati Conte anaingia darajani...Dogo huyo mwenye umri wa miaka 22 alipata mabao 17 msimu uliopita na alitoka benchi na kuifungia timu yake ya taifa Euro 2016...Bofya hapa upate habari zaidi.

No comments:

Post a Comment