Wednesday 29 June 2016

SAMUEL ETO'O: STRICKER SAMUEL ETO'O AFUNGA NDOA YA KIFAHARI ITALY




Striker hatari sana kutoka Cameroon na mwenye pesa nyingi zaidi ya wachezaji wengi Africa amefunga ndoa mpenzi wake wa siku nyingi Georgett Tra Lou...



Harusi hiyo ya mchezaji wa zamani wa Barcelona na misimu miwili alichezea nchini Italy akiwa na Inter Milan na Sampdoria ilifanyika Stezzano, Italy...



Baada ya kufunga ndoa watu wengi walifurika kanisani kumwona mke wa Eto'o...


Wageni waalikwa walikuwa wengi akiwemo mchezaji mwenzake wa zamani wa Barcelona Chareles Puyol...Bofya hapa upate habari zaidi.

No comments:

Post a Comment