Showing posts with label Eto'o. Show all posts
Showing posts with label Eto'o. Show all posts

Thursday, 6 October 2016

SAMUEL ETO'O: ANTALYASPOR CALL BACK ETO'O


Samuel Eto'o is back with the Atalyaspor squad after his suspension...He was suspended last month for his comments that the he made on social media that the leadership is racist...

Wednesday, 29 June 2016

SAMUEL ETO'O: STRICKER SAMUEL ETO'O AFUNGA NDOA YA KIFAHARI ITALY




Striker hatari sana kutoka Cameroon na mwenye pesa nyingi zaidi ya wachezaji wengi Africa amefunga ndoa mpenzi wake wa siku nyingi Georgett Tra Lou...



Harusi hiyo ya mchezaji wa zamani wa Barcelona na misimu miwili alichezea nchini Italy akiwa na Inter Milan na Sampdoria ilifanyika Stezzano, Italy...



Baada ya kufunga ndoa watu wengi walifurika kanisani kumwona mke wa Eto'o...


Wageni waalikwa walikuwa wengi akiwemo mchezaji mwenzake wa zamani wa Barcelona Chareles Puyol...Bofya hapa upate habari zaidi.

Wednesday, 16 December 2015

SAMUEL ETO'O: APEWA NAFASI YA UKOCHA


Samuel Eto'o amepewa nafasi ya kufundisha Antalyaspor...Eto'o mwenye umri wa miaka 34 aliingia hapo kwa mkataba wa miaka 3 June iliyopita amepewa nafasi ya kuonyesha umwamba wake katika soka kwa kuwa kocha mchezaji kwa mechi 3...Anachukua ukocha kutoka kwa Yusuf Simsek ambae alitimuliwa December 7...Bofya hapa upate habari zaidi.